Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 38:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*

      Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”

  • Mathayo 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+

  • Yohana 6:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ katika siku ya mwisho;

  • Yohana 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki