Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.” Mathayo 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+ Yohana 6:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ katika siku ya mwisho; Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+
10 Mimi nilisema: “Katikati ya siku zangu nitaingia katika malango+ ya Kaburi.*Nitanyimwa mabaki+ ya miaka yangu.”
18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+
54 Yule ambaye hula mwili wangu na kunywa damu yangu ana uzima wa milele, nami nitamfufua+ katika siku ya mwisho;
25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+