Zaburi 90:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+ Mhubiri 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wakati wa kuzaliwa+ na wakati wa kufa;+ wakati wa kupanda na wakati wa kung’oa kilichopandwa;+ Mhubiri 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Usiwe mwovu kupita kiasi,+ wala kuwa mpumbavu.+ Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?+
10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+