1 Samweli 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa. Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+ Methali 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kumwogopa Yehova kutaongeza siku,+ lakini miaka ya waovu itafupishwa.+
23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+