Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa.

  • Zaburi 55:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+

      Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+

      Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+

  • Methali 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kumwogopa Yehova kutaongeza siku,+ lakini miaka ya waovu itafupishwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki