Zaburi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+Mtu anayemwaga damu+ na mdanganyifu+ Yehova anamchukia. Methali 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kumwogopa Yehova kutaongeza siku,+ lakini miaka ya waovu itafupishwa.+ Mhubiri 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Usiwe mwovu kupita kiasi,+ wala kuwa mpumbavu.+ Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?+ Mathayo 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake akajinyonga.+