Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Zaburi 75:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Niliwaambia wapumbavu: “Msiwe wapumbavu,”+Na waovu: “Msiinue pembe.+ Methali 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wale wanaodhihaki hatia ni wapumbavu,+ lakini kuna makubaliano kati ya wanyoofu.+
14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+