Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+

  • Methali 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, hii ndiyo njia ya mwanamke mzinzi: amekula, akapangusa kinywa chake na kusema: “Sijafanya kosa lolote.”+

  • Yeremia 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, waliona aibu kwa sababu jambo walilokuwa wamefanya lilikuwa chukizo?+ Jambo moja ni kwamba hakika wao hawaoni aibu yoyote; jambo lingine ni kwamba hawajapata kujua hata jinsi ya kufedheheka.+ Kwa hiyo wataanguka katikati ya wale wanaoanguka;+ watajikwaa wakati nitakapowatoza hesabu,” Yehova amesema.

  • Yuda 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 jinsi walivyokuwa wakiwaambia ninyi: “Wakati wa mwisho kutakuwako wadhihaki, wakienda kulingana na tamaa zao wenyewe kwa ajili ya mambo ya kutomwogopa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki