Methali 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wale wanaodhihaki hatia ni wapumbavu,+ lakini kuna makubaliano kati ya wanyoofu.+ Methali 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 ndivyo alivyo mtu ambaye amemdanganya mwenzake na kusema: “Je, sikuwa nikifanya mzaha tu?”+