Zaburi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya kujigamba kwake, mwovu hatafuti;+Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+ Zaburi 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Isaya 29:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Upotovu wenu! Je, mfinyanzi ahesabiwe kama udongo?+ Kwa maana, je, kitu kilichofanywa kiseme hivi kumhusu mwenye kukifanya: “Yeye hakunifanya”?+ Na je, kitu ambacho kimefanywa kwa kweli kiseme kumhusu mwenye kukifanya: “Hakuonyesha uelewaji”?+
53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+Hakuna yeyote anayefanya mema.+
16 Upotovu wenu! Je, mfinyanzi ahesabiwe kama udongo?+ Kwa maana, je, kitu kilichofanywa kiseme hivi kumhusu mwenye kukifanya: “Yeye hakunifanya”?+ Na je, kitu ambacho kimefanywa kwa kweli kiseme kumhusu mwenye kukifanya: “Hakuonyesha uelewaji”?+