Mwanzo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na dunia ikaharibika machoni pa Mungu wa kweli,+ dunia ikajaa jeuri.+ Mambo ya Walawi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi mtatimiza wajibu wenu kwangu ili kutoendeleza yoyote kati ya desturi hizo zenye kuchukiza ambazo zimeendelezwa mbele yenu,+ ili msijifanye kuwa wasio safi kutokana nazo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’” Kumbukumbu la Torati 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+
30 Nanyi mtatimiza wajibu wenu kwangu ili kutoendeleza yoyote kati ya desturi hizo zenye kuchukiza ambazo zimeendelezwa mbele yenu,+ ili msijifanye kuwa wasio safi kutokana nazo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+