Mambo ya Walawi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ni lazima mtimize wajibu wenu kwangu kwa kutofuata desturi yoyote kati ya desturi zenye kuchukiza zilizofuatwa kabla yenu,+ ili msijichafue kwa desturi hizo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
30 Ni lazima mtimize wajibu wenu kwangu kwa kutofuata desturi yoyote kati ya desturi zenye kuchukiza zilizofuatwa kabla yenu,+ ili msijichafue kwa desturi hizo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”