Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Zaburi 53:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Sefania 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na itatukia wakati huo kwamba nitapekua Yerusalemu kwa uangalifu kwa kutumia taa,+ nami nitakaza fikira kwa watu wanaoganda juu ya machicha yao,+ wanaosema moyoni mwao, ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+
14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+
53 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu na kutenda kwa njia yenye kuchukiza katika ukosefu wa uadilifu;+Hakuna yeyote anayefanya mema.+
12 “Na itatukia wakati huo kwamba nitapekua Yerusalemu kwa uangalifu kwa kutumia taa,+ nami nitakaza fikira kwa watu wanaoganda juu ya machicha yao,+ wanaosema moyoni mwao, ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+