21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+
23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+