Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi naweza kufanya nini wakati Mungu atakaposimama?

      Na wakati atakapotoza hesabu, naweza kumjibu nini?+

  • Matendo 17:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”

  • Waroma 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hili litakuwa katika siku Mungu anapohukumu kupitia Kristo Yesu+ mambo ya siri+ ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza.+

  • Waroma 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hivyo, basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki