Ayubu 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi naweza kufanya nini wakati Mungu atakaposimama?Na wakati atakapotoza hesabu, naweza kumjibu nini?+ Matendo 17:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.” Waroma 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hili litakuwa katika siku Mungu anapohukumu kupitia Kristo Yesu+ mambo ya siri+ ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza.+ Waroma 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo, basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.+
14 Basi naweza kufanya nini wakati Mungu atakaposimama?Na wakati atakapotoza hesabu, naweza kumjibu nini?+
31 Kwa sababu ameweka siku ambayo katika hiyo anakusudia kuihukumu+ kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa amemfufua+ kutoka kwa wafu.”
16 Hili litakuwa katika siku Mungu anapohukumu kupitia Kristo Yesu+ mambo ya siri+ ya wanadamu,+ kulingana na habari njema ninayoitangaza.+