10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+
6 Kwa kweli, kwa kusudi hili habari njema ilitangazwa kwa wafu+ pia, ili wahukumiwe kuhusiana na mwili kwa maoni ya wanadamu+ lakini waishi kuhusiana na roho+ kwa maoni ya Mungu.