Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+

      Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+

      Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+

  • Zaburi 98:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+

      Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+

  • Isaya 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye hakika atafanya hukumu kati ya mataifa+ na kunyoosha mambo+ kuhusu vikundi vingi vya watu.+ Nao watafua panga zao ziwe majembe na mikuki yao iwe miundu.+ Taifa halitainua upanga juu ya taifa, wala hawatajifunza vita tena.+

  • Yohana 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Baba hamhukumu mtu yeyote hata kidogo, bali amemkabidhi Mwana kazi yote ya kuhukumu,+

  • Matendo 10:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Pia, alituagiza sisi tuwahubirie+ watu na kutoa ushahidi kamili kwamba Huyu ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki