Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+

  • Mathayo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Huyu, kwa kweli, ndiye anayesemwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Sikilizeni! Mtu fulani anapaaza sauti nyikani, ‘Tayarisheni+ njia ya Yehova! Nyoosheni barabara zake.’ ”

  • Luka 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kila mtaro lazima ujazwe, na kila mlima na kilima vifanywe tambarare, palipopindika lazima pawe njia nyoofu na mahali penye miparuzo pawe njia laini;+

  • Yohana 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Akasema: “Mimi ni sauti ya mtu anayepaaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’ kama vile nabii Isaya alivyosema.”+

  • 2 Timotheo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,

  • Waebrania 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 bali zinahusu tu vyakula+ na vinywaji+ na mabatizo+ mbalimbali. Hayo yalikuwa matakwa ya kisheria yanayohusiana na mwili+ nayo yaliamriwa mpaka wakati uliowekwa wa kunyoosha mambo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki