Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ Waroma 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, hali ikoje? Ikiwa wengine hawakuonyesha imani,+ je, ukosefu wao wa imani labda utafanya uaminifu+ wa Mungu usiwe na matokeo?+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
3 Basi, hali ikoje? Ikiwa wengine hawakuonyesha imani,+ je, ukosefu wao wa imani labda utafanya uaminifu+ wa Mungu usiwe na matokeo?+