2 Wathesalonike 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na ili tukombolewe kutoka kwa watu wenye madhara na waovu,+ kwa maana imani si mali ya watu wote.+ Waebrania 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sisi pia tumetangaziwa habari njema,+ kama wao pia walivyotangaziwa;+ lakini neno lililosikiwa halikuwa na faida kwao,+ kwa sababu hawakuunganishwa kwa imani+ pamoja na wale waliosikia.+
2 Kwa maana sisi pia tumetangaziwa habari njema,+ kama wao pia walivyotangaziwa;+ lakini neno lililosikiwa halikuwa na faida kwao,+ kwa sababu hawakuunganishwa kwa imani+ pamoja na wale waliosikia.+