Kumbukumbu la Torati 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo haya, kila anayefanya ukosefu wa haki, ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+ Ayubu 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+ Waroma 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)
16 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo haya, kila anayefanya ukosefu wa haki, ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+
10 Kwa hiyo nisikilizeni mimi, ninyi watu walio na moyo wenye kufahamu.+Hasha, Mungu wa kweli asitende kwa uovu,+Na Mweza-Yote kutenda isivyo haki!+
5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)