25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+
7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+