2 Mambo ya Nyakati 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi hofu ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana Yehova Mungu wetu hana ukosefu wa haki,+ hana ubaguzi,+ wala hapokei rushwa.”+ 2 Nyakati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 19:7 w11 8/1 28 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:7 Mnara wa Mlinzi,8/1/2011, uku. 2810/1/1986, uku. 30
7 Basi hofu ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana Yehova Mungu wetu hana ukosefu wa haki,+ hana ubaguzi,+ wala hapokei rushwa.”+