Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kuhusu wale magavana waliokuwa kabla yangu, walikuwa wamewalemea watu, nao walikuwa wakichukua kutoka kwao kila siku shekeli 40 za fedha kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwaonea watu.+ Bali mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu ya kumwogopa Mungu.+

  • Ayubu 31:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana msiba kutoka kwa Mungu ulinitia hofu,

      Nami sikuweza kuvumilia mbele ya utukufu+ wake.

  • Methali 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki