Methali 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini! Methali 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake,+ lakini anayesikiliza shauri ni mwenye hekima.+ Methali 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeyote aliye mjinga hapendezwi na utambuzi hata kidogo,+ isipokuwa tu moyo wake ujifunue wenyewe.+ Waroma 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+