Zaburi 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, wewe—wewe umechukia nidhamu,+Nawe unaendelea kuyatupa maneno yangu nyuma yako.+ Zekaria 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+ Yohana 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+
11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+
20 Kwa maana yule ambaye huzoea kufanya mambo maovu+ huchukia nuru na haji kwenye nuru, ili matendo yake yasipate kukaripiwa.+