Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+

  • Isaya 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo kama mwali wa moto unavyoteketeza majani makavu+ na kama majani matupu yanavyoingia ndani ya miali ya moto, ndivyo kisiki chao kitakavyokuwa kama harufu ya kuoza,+ na ua lao litaenda juu kama mavumbi, kwa sababu wameikataa sheria ya Yehova wa majeshi,+ nao wamelidharau neno la Mtakatifu wa Israeli.+

  • Yeremia 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki