Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na katika wingi wa ukuu wako wewe unaweza kuwatupa chini wale wanaosimama juu yako;+

      Wewe unaituma hasira yako inayowaka, nayo inawateketeza kama majani makavu.+

  • Yoeli 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wao hurukaruka kama kwa sauti ya magari juu ya vilele vya milima,+ kama kwa sauti ya mwali wa moto ambao unateketeza majani makavu.+ Wao ni kama kundi la watu wenye nguvu, lililowekwa katika mpangilio wa pigano.+

  • Nahumu 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ijapokuwa wanasokotwa kama miiba+ nao wamelewa kama kwa pombe yao ya ngano,+ watamezwa kama majani yaliyokauka kabisa.+

  • Malaki 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa maana, tazama! siku ile inakuja ambayo inawaka kama tanuru,+ na wote wenye kimbelembele na wote wanaotenda uovu watakuwa kama majani makavu.+ Na siku hiyo inayokuja itawateketeza,” Yehova wa majeshi amesema, “hivi kwamba haitawaachia wao mzizi wala tawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki