Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,+

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

  • Isaya 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yehova wa majeshi atakuwa juu kupitia hukumu,+ na Mungu wa kweli, aliye Mtakatifu,+ hakika atajitakasa kupitia uadilifu.+

  • Isaya 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?

      Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya nani

      Na kuinua macho+ yako juu?

      Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki