Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ 2 Mambo ya Nyakati 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+ Zaburi 98:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+