2 “Na mataifa hakika yatauona uadilifu wako,+ Ee mwanamke,+ na wafalme wote utukufu wako.+ Na hakika wewe utaitwa kwa jina jipya,+ ambalo kinywa cha Yehova kitalichagua.
25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+