Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yehova wa majeshi atakuwa juu kupitia hukumu,+ na Mungu wa kweli, aliye Mtakatifu,+ hakika atajitakasa kupitia uadilifu.+

  • Isaya 60:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na hakika mataifa yataenda kwenye nuru yako,+ na wafalme+ kwenye mwangaza wa mwanga wako.+

  • Isaya 62:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na mataifa hakika yatauona uadilifu wako,+ Ee mwanamke,+ na wafalme wote utukufu wako.+ Na hakika wewe utaitwa kwa jina jipya,+ ambalo kinywa cha Yehova kitalichagua.

  • Waroma 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki