Isaya 65:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi hakika mtaweka jina lenu kuwa kiapo kwa wachaguliwa wangu, na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova kwa kweli atawaua ninyi mmoja mmoja,+ lakini watumishi wake atawaita kwa jina lingine;+ Yeremia 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+
15 Nanyi hakika mtaweka jina lenu kuwa kiapo kwa wachaguliwa wangu, na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova kwa kweli atawaua ninyi mmoja mmoja,+ lakini watumishi wake atawaita kwa jina lingine;+
16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa hivi, Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+