Isaya 66:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+ Mathayo 25:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+
16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+
41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+