Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa maana upanga+ wangu hakika utaloweshwa mbinguni. Tazama! Utashuka juu ya Edomu,+ na juu ya watu ambao nimewatenga ili niwaangamize+ katika haki.

  • Yeremia 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+

  • Ezekieli 38:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘Nami nitaita upanga juu yake kotekote katika eneo langu lote lenye milima,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Upanga wa kila mmoja utakuwa juu ya ndugu yake.+

  • Yoeli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Umati, umati umo katika bonde la uamuzi,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu katika bonde la uamuzi.+

  • Ufunuo 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili mpate kula sehemu zenye nyama za wafalme na sehemu zenye nyama+ za viongozi wa kijeshi na sehemu zenye nyama za watu wenye nguvu+ na sehemu zenye nyama za farasi+ na za wale wanaoketi juu yao, na sehemu zenye nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo na wakubwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki