Zaburi 79:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wamemwaga damu yao kama majiKuzunguka Yerusalemu pande zote, wala hakuna mtu wa kuzika.+ Isaya 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wewe, umetupiliwa mbali bila kaburi kwa ajili yako,+ kama chipukizi lenye kuchukiwa, umevikwa watu waliouawa, waliochomwa kwa upanga ambao wanashuka mpaka katika mawe ya shimoni,+ kama mzoga uliokanyagiwa chini.+
19 Lakini wewe, umetupiliwa mbali bila kaburi kwa ajili yako,+ kama chipukizi lenye kuchukiwa, umevikwa watu waliouawa, waliochomwa kwa upanga ambao wanashuka mpaka katika mawe ya shimoni,+ kama mzoga uliokanyagiwa chini.+