Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 141:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kama mtu anavyoatua na kupasua kuni juu ya nchi,

      Ndivyo mifupa yetu imetawanywa katika kinywa cha Kaburi.*+

  • Yeremia 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu walewale ambao wao wanawatolea unabii watakuwa watu waliotupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga, bila yeyote wa kuwazika—wao, wake zao na wana wao na binti zao.+ Nami nitamwaga juu yao msiba wao.’+

  • Yeremia 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Watakufa vifo vya magonjwa.+ Hawataombolezewa,+ wala hawatazikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi;+ nao watamalizwa kwa upanga na kwa njaa,+ na maiti zao kwa kweli zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa duniani.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki