Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ndiyo, nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao;+ na maiti zao zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+

  • Ezekieli 39:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Sema na ndege wa kila namna ya bawa na wanyama wote wa mwituni:+ “Kusanyikeni pamoja na mje. Jikusanyeni pamoja pande zote kwenye dhabihu yangu, ambayo ninatoa kwa ajili yenu, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli.+ Nanyi hakika mtakula nyama na kunywa damu.+

  • Ufunuo 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki