Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na maiti yako itakuwa chakula kwa ajili ya kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kwa mnyama wa porini, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

  • 1 Wafalme 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu yeyote wa Yeroboamu atakayekufa jijini, mbwa watamla;+ na yule atakayekufa shambani, ndege wa angani watamla,+ kwa sababu Yehova mwenyewe amesema hayo.”’

  • Zaburi 79:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+

      Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+

  • Yeremia 7:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha viumbe vinavyoruka vya mbinguni na cha wanyama wa dunia, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+

  • Yeremia 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Watakufa vifo vya magonjwa.+ Hawataombolezewa,+ wala hawatazikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi;+ nao watamalizwa kwa upanga na kwa njaa,+ na maiti zao kwa kweli zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa duniani.’+

  • Yeremia 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitalivunja shauri la Yuda na la Yerusalemu mahali hapa,+ nami nitawaangusha kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaoitafuta nafsi yao.+ Na maiti zao nitazitoa ziwe chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki