Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Yehova amesema hivi kuwahusu wale manabii wanaotoa unabii katika jina langu na ambao mimi sikuwatuma na ambao wanasema kwamba hakuna upanga wala njaa itakayokuja katika nchi hii, ‘Hao manabii watamalizwa kwa upanga na kwa njaa.+

  • Yeremia 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Ninyi hamkunitii mimi kwa kuendelea kumtangazia uhuru+ kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake. Tazama, mimi ninawatangazia ninyi uhuru,’+ asema Yehova, ‘upanga,+ tauni+ na njaa,+ na hakika mimi nitawatoa ninyi kwa ajili ya kutetemesha falme zote za dunia.+

  • Ezekieli 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sehemu ya tatu yako—kwa tauni watakufa,+ na kwa njaa watafikia mwisho wao katikati yako.+ Na sehemu nyingine ya tatu—kwa upanga wataanguka kukuzunguka pande zote. Na sehemu ya tatu ya mwisho nitawatawanya hata kuelekea kila upepo,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki