10 Nanyi mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru katika nchi kwa wakaaji wake wote.+ Itakuwa Yubile+ kwenu, nanyi mtarudi kila mmoja kwenye miliki yake nanyi mtarudi kila mmoja kwa familia yake.+
12 “Ikiwa utauziwa ndugu yako, mwanamume Mwebrania au mwanamke Mwebrania,+ naye amekutumikia kwa miaka sita, basi katika mwaka wa saba utamruhusu aondoke kwako kama mtu aliyewekwa huru.+