12 Wakati wanapofunga, mimi sisikilizi kilio chao cha kusihi;+ na wanapotoa toleo zima la kuteketezwa na toleo la nafaka, mimi siyafurahii;+ kwa maana nitawamaliza kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni.”+
12 Yule aliye mbali,+ kwa tauni atakufa; na yule aliye karibu, kwa upanga ataanguka; naye yule aliyebaki na ambaye amelindwa, kwa njaa atakufa, nami nitaitimiza ghadhabu yangu juu yao.+