Ezekieli 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yule aliye mbali sana atakufa kwa ugonjwa hatari, na yule aliye karibu atauawa kwa upanga, na yeyote anayeponyoka mambo hayo na kubaki atakufa kwa njaa kali; nami nitawamwagia kikamili ghadhabu yangu.+
12 Yule aliye mbali sana atakufa kwa ugonjwa hatari, na yule aliye karibu atauawa kwa upanga, na yeyote anayeponyoka mambo hayo na kubaki atakufa kwa njaa kali; nami nitawamwagia kikamili ghadhabu yangu.+