Yeremia 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wanapofunga, sisikilizi sihi zao,+ na wanapotoa dhabihu nzima za kuteketezwa na matoleo ya nafaka, siyafurahii,+ kwa maana nitawaangamiza kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari.”+
12 Wanapofunga, sisikilizi sihi zao,+ na wanapotoa dhabihu nzima za kuteketezwa na matoleo ya nafaka, siyafurahii,+ kwa maana nitawaangamiza kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari.”+