11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?” asema Yehova. “Nimetosheka na matoleo mazima ya kuteketezwa+ ya kondoo-dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri;+ nami sikupendezwa na damu+ ya ng’ombe-dume wachanga na wana-kondoo na mbuzi-dume.+
22 Kwa maana sikusema na mababu zenu, wala sikuwaamuru wao katika siku nilipowatoa katika nchi ya Misri, kuhusu mambo ya toleo zima la kuteketezwa na dhabihu.+