Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+

  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?” asema Yehova. “Nimetosheka na matoleo mazima ya kuteketezwa+ ya kondoo-dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri;+ nami sikupendezwa na damu+ ya ng’ombe-dume wachanga na wana-kondoo na mbuzi-dume.+

  • Yeremia 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana sikusema na mababu zenu, wala sikuwaamuru wao katika siku nilipowatoa katika nchi ya Misri, kuhusu mambo ya toleo zima la kuteketezwa na dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki