Yeremia 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana siku niliyowatoa mababu zenu nchini Misri, sikuwaambia wala kuwaamuru kuhusu dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu nyingine.+
22 Kwa maana siku niliyowatoa mababu zenu nchini Misri, sikuwaambia wala kuwaamuru kuhusu dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu nyingine.+