Isaya 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:11 ip-1 22-23 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:11 Unabii wa Isaya 1, kur. 22-23
11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+