1 Samweli 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume; Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu humchukiza Yehova,+Lakini sala ya wanyoofu humfurahisha Yeye.+ Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+ Mika 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo dume,Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nitamtoa mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,Uzao wa mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu?*+
22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume;
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+
7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo dume,Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nitamtoa mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,Uzao wa mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu?*+