Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume;

  • Methali 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Dhabihu ya waovu humchukiza Yehova,+

      Lakini sala ya wanyoofu humfurahisha Yeye.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

  • Mika 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo dume,

      Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+

      Je, nitamtoa mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,

      Uzao wa mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu?*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki