Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kutenda mambo manyoofu na ya haki

      Humpendeza Yehova zaidi kuliko dhabihu.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

  • Marko 12:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 na kumpenda Mungu kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na pia mtu kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe ni bora kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki