Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wakati huo wataendelea kuniita, lakini sitaitika;+ wataendelea kunitafuta, lakini hawatanipata,+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Isaya 58:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kwa nini tulifunga nawe hukuona,+ tukazitesa nafsi+ zetu nawe ukawa huangalii?’+

      “Kwa kweli ninyi mlikuwa mkipata upendezi katika siku ile ya kufunga kwenu, wakati kulipokuwa na wafanyakazi wenu wote ambao mliendelea kuwalazimisha kwenda kazini.+

  • Yeremia 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+

  • Ezekieli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mimi mwenyewe pia nitachukua hatua katika ghadhabu.+ Jicho langu halitasikitika, wala sitakuwa na huruma.+ Nao hakika wataita masikioni mwangu kwa sauti kubwa, lakini sitawasikia.”+

  • Zekaria 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Basi ikawa kwamba, kama vile alivyoita wala hawakusikiliza,+ vivyo hivyo wao waliita na mimi sikusikiliza,’+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki