Mambo ya Walawi 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu. Zaburi 35:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+
29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.
13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+