Mambo ya Walawi 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nanyi hamtafanya kazi ya aina yoyote siku hiyo, kwa sababu ni siku ya upatanisho ili kufanya upatanisho+ kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu;
28 Nanyi hamtafanya kazi ya aina yoyote siku hiyo, kwa sababu ni siku ya upatanisho ili kufanya upatanisho+ kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu;