Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ni sabato+ ya pumziko kamili kwenu, nanyi mtazitesa nafsi zenu. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo.

  • 1 Wafalme 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+

  • Isaya 58:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kwa nini tulifunga nawe hukuona,+ tukazitesa nafsi+ zetu nawe ukawa huangalii?’+

      “Kwa kweli ninyi mlikuwa mkipata upendezi katika siku ile ya kufunga kwenu, wakati kulipokuwa na wafanyakazi wenu wote ambao mliendelea kuwalazimisha kwenda kazini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki